Post Top Ad

Jumanne, 11 Desemba 2018

Mrembo aliyefanya theofficialgoldman kuweuka-kichaa kafunguka live



Kafunguka kuhusu mausiano yake na theofficialgoldman amesema kuwa chanzo kilicho fanya msanii huyo kuwa chizi(kichaa) na kushindaa mtaani na kwenye majalala ya takata alicheza na hisia zake na kuanza Kutembea na watu wengine (cheating) kutomthamini na kumjali hadi akafikia kwenye hatua hiyo

Lakini amejari kumtafuta yeye,ndugu,name marafiki zake hapokei simu na wakipokea wanamfokea pia alikuwa anahitaji kuomba msamaha kwa kilichotokea





Ads

Post Top Ad

Pages