Breaking

Post Top Ad

Jumatano, 13 Februari 2019

Rapa Mkubwa wa Tanzania Godzilla Afariki Dunia February 13, 2019 at 07:4


Rapa bora na maarufu nchini Godzilla ameripotwa kufariki usikuwa kuamkia leo ghafla alipokuwa nyumbani kwao salasala huku bado sababu ya kifo icho ikiwa bado haijajulikana mpaka asubui hii,
Mwili wa Marehemu ulipelekwa kuifadhiwa katika hospitali ya lugalo jijini dar kwa ajili ya kusubiri tarartibu za mazishi pindi familia na wanandugu watakapo kubaliana.
Rapa godzilla anaacha pengo kubwa sana katika muziki wa rap na muziki kwa ujumla Tanzania kutokana na ufanyaji wake kazi na changamoto aliyokuwa akileta kwa wasanii wenzakke,Godzilla aliweza kufanya kazi na wenzake kwa kujituma na kwa upendo akiamini kuwa hiyo ndio njia ya kukuza muziki nchii.

Ads

Post Top Ad

Pages