Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana Anthony Mavunde ametoa msaada wa babaji yenye thamani ya zaidi shilingi Milion 7 kwa kijana Dominic Oscar mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye ni mlemavu wa miguu na mikono ili iweze kumsaidia katika shughuli zake za kila siku ikiwemo katika masomo yake
Post Top Ad
Jumamosi, 4 Agosti 2018
Maamuzi ya Naibu Waziri Mavunde baada ya kuguswa na kijana mlemavu
Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana Anthony Mavunde ametoa msaada wa babaji yenye thamani ya zaidi shilingi Milion 7 kwa kijana Dominic Oscar mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye ni mlemavu wa miguu na mikono ili iweze kumsaidia katika shughuli zake za kila siku ikiwemo katika masomo yake