Post Top Ad

Jumatatu, 22 Agosti 2022

Cristiano Ronaldo kutua zamalek sc

 




Mashabiki wa Klabu ya Zamalek SC 🇪🇬 kupitia mabango Yao wamemuomba Mshambuliaji wa Klabu ya Manchester United,Cristiano Ronaldo kujiunga na Klabu hiyo kipindi hiki Kabla Dirisha la Usajili halijafungwa.


Mashabiki hao wameandika "Ronaldo njoo kwenye Klabu Bora Barani Afrika"

Ads

Post Top Ad

Pages