Breaking

Post Top Ad

Alhamisi, 29 Desemba 2022

Victor Wanyama kuhusu Sadio Mane kunyimwa Pasi na wachezaji

 

VICTAR WANYAMA🇰🇪 KUHUSU SADIO MANÈ KUNYIMWA PASI


Maneno ya Victor Wanyama kuhusu Sadio Mane kunyimwa Pasi na wachezaji wenzake wakati anaichezea Southmpon kabla ya kujiunga na Liverpool 👇🏾


Wakati mmoja tukiwa  pamoja Southmpotn Mane alikuja  na kuniambia , hawa jamaa hawataki kunipitishia mpira, ili nifunge je, sisi wawili tunaweza kucheza kwa ukaribu.


Hawataki nifunge bao.'  Nilikubali bila kupinga na wakati wowote nilipopata mpira nilimpasia.  Nilitaka kumtendea haki kwa vile ni mtu mzuri

Victor Wanyama wa kenya


Ads

Post Top Ad

Pages